Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Adiyat Ayahs #9 Translated in Swahili

فَوَسَطْنَ بِهِ جَمْعًا
Na wakijitoma kati ya kundi,
إِنَّ الْإِنْسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِي الْقُبُورِ
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?

Choose other languages: