Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #23 Translated in Swahili

وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
وَفِي أَنْفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
وَفِي السَّمَاءِ رِزْقُكُمْ وَمَا تُوعَدُونَ
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
فَوَرَبِّ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ إِنَّهُ لَحَقٌّ مِثْلَ مَا أَنَّكُمْ تَنْطِقُونَ
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.

Choose other languages: