Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #22 Translated in Swahili

وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
وَفِي أَنْفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
وَفِي السَّمَاءِ رِزْقُكُمْ وَمَا تُوعَدُونَ
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.

Choose other languages: