Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #19 Translated in Swahili

إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
آخِذِينَ مَا آتَاهُمْ رَبُّهُمْ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُحْسِنِينَ
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
كَانُوا قَلِيلًا مِنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.

Choose other languages: