Quran Apps in many lanuages:

Surah Ad-Dhuha Ayahs #4 Translated in Swahili

وَالضُّحَىٰ
Naapa kwa mchana!
وَاللَّيْلِ إِذَا سَجَىٰ
Na kwa usiku unapo tanda!
مَا وَدَّعَكَ رَبُّكَ وَمَا قَلَىٰ
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
وَلَلْآخِرَةُ خَيْرٌ لَكَ مِنَ الْأُولَىٰ
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.

Choose other languages: