Quran Apps in many lanuages:

Surah Ya-Seen Ayahs #8 Translated in Swahili

عَلَىٰ صِرَاطٍ مُسْتَقِيمٍ
Juu ya Njia Iliyo Nyooka.
تَنْزِيلَ الْعَزِيزِ الرَّحِيمِ
Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
لِتُنْذِرَ قَوْمًا مَا أُنْذِرَ آبَاؤُهُمْ فَهُمْ غَافِلُونَ
Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa, basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
لَقَدْ حَقَّ الْقَوْلُ عَلَىٰ أَكْثَرِهِمْ فَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Bila ya shaka kauli imekwisha thibiti juu ya wengi katika wao, kwa hivyo hawaamini.
إِنَّا جَعَلْنَا فِي أَعْنَاقِهِمْ أَغْلَالًا فَهِيَ إِلَى الْأَذْقَانِ فَهُمْ مُقْمَحُونَ
Tumeweka makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni. Kwa hivyo vichwa vyao viko juu tu.

Choose other languages: