Quran Apps in many lanuages:

Surah Sad Ayahs #85 Translated in Swahili

إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
قَالَ فَبِعِزَّتِكَ لَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
قَالَ فَالْحَقُّ وَالْحَقَّ أَقُولُ
Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنْكَ وَمِمَّنْ تَبِعَكَ مِنْهُمْ أَجْمَعِينَ
Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.

Choose other languages: