Quran Apps in many lanuages:

Surah Nooh Ayahs #12 Translated in Swahili

ثُمَّ إِنِّي دَعَوْتُهُمْ جِهَارًا
Tena niliwaita kwa uwazi,
ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنْتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُمْ مِدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
وَيُمْدِدْكُمْ بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَلْ لَكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَلْ لَكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.

Choose other languages: