Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #96 Translated in Swahili

وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنْتُمْ تَعْبُدُونَ
Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
مِنْ دُونِ اللَّهِ هَلْ يَنْصُرُونَكُمْ أَوْ يَنْتَصِرُونَ
Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe?
فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ
Na majeshi ya Ibilisi yote.
قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:

Choose other languages: