Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #61 Translated in Swahili

فَأَخْرَجْنَاهُمْ مِنْ جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.
فَأَتْبَعُوهُمْ مُشْرِقِينَ
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
فَلَمَّا تَرَاءَى الْجَمْعَانِ قَالَ أَصْحَابُ مُوسَىٰ إِنَّا لَمُدْرَكُونَ
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!

Choose other languages: