Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #59 Translated in Swahili

وَإِنَّهُمْ لَنَا لَغَائِظُونَ
Nao wanatuudhi.
وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَاذِرُونَ
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
فَأَخْرَجْنَاهُمْ مِنْ جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.

Choose other languages: