Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shams Ayahs #7 Translated in Swahili

وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا
Na kwa usiku unapo lifunika!
وَالسَّمَاءِ وَمَا بَنَاهَا
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
وَالْأَرْضِ وَمَا طَحَاهَا
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
وَنَفْسٍ وَمَا سَوَّاهَا
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!

Choose other languages: