Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shams Ayahs #15 Translated in Swahili

كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَاهَا
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
إِذِ انْبَعَثَ أَشْقَاهَا
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُمْ بِذَنْبِهِمْ فَسَوَّاهَا
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
وَلَا يَخَافُ عُقْبَاهَا
Wala Yeye haogopi matokeo yake.

Choose other languages: