Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #87 Translated in Swahili

وَإِنَّ مِنْ شِيعَتِهِ لَإِبْرَاهِيمَ
Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
إِذْ جَاءَ رَبَّهُ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَاذَا تَعْبُدُونَ
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?
أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللَّهِ تُرِيدُونَ
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
فَمَا ظَنُّكُمْ بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Choose other languages: