Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #64 Translated in Swahili

إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُزُلًا أَمْ شَجَرَةُ الزَّقُّومِ
Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
إِنَّا جَعَلْنَاهَا فِتْنَةً لِلظَّالِمِينَ
Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

Choose other languages: