Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #43 Translated in Swahili

وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنْتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
أُولَٰئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَعْلُومٌ
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
فَوَاكِهُ ۖ وَهُمْ مُكْرَمُونَ
Matunda, nao watahishimiwa.
فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ
Katika Bustani za neema.

Choose other languages: