Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #138 Translated in Swahili

إِذْ نَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِمْ مُصْبِحِينَ
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
وَبِاللَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?

Choose other languages: