Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Najm Ayahs #52 Translated in Swahili

وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Na Thamudi hakuwabakisha,
وَقَوْمَ نُوحٍ مِنْ قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;

Choose other languages: