Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #17 Translated in Swahili

وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
وَأَنْزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
لِنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,

Choose other languages: