Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #20 Translated in Swahili

وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
يَوْمَ يُنْفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
وَفُتِحَتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ أَبْوَابًا
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.

Choose other languages: