Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #82 Translated in Swahili

فِي كِتَابٍ مَكْنُونٍ
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
لَا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
تَنْزِيلٌ مِنْ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
أَفَبِهَٰذَا الْحَدِيثِ أَنْتُمْ مُدْهِنُونَ
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
وَتَجْعَلُونَ رِزْقَكُمْ أَنَّكُمْ تُكَذِّبُونَ
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?

Choose other languages: