Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #77 Translated in Swahili

نَحْنُ جَعَلْنَاهَا تَذْكِرَةً وَمَتَاعًا لِلْمُقْوِينَ
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
فَسَبِّحْ بِاسْمِ رَبِّكَ الْعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
فَلَا أُقْسِمُ بِمَوَاقِعِ النُّجُومِ
Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
وَإِنَّهُ لَقَسَمٌ لَوْ تَعْلَمُونَ عَظِيمٌ
Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
إِنَّهُ لَقُرْآنٌ كَرِيمٌ
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,

Choose other languages: