Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #30 Translated in Swahili

إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
فِي سِدْرٍ مَخْضُودٍ
Katika mikunazi isiyo na miba,
وَطَلْحٍ مَنْضُودٍ
Na migomba iliyo pangiliwa,
وَظِلٍّ مَمْدُودٍ
Na kivuli kilicho tanda,

Choose other languages: