Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Waqia Ayahs #27 Translated in Swahili

كَأَمْثَالِ اللُّؤْلُؤِ الْمَكْنُونِ
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?

Choose other languages: