Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qiyama Ayahs #6 Translated in Swahili

وَلَا أُقْسِمُ بِالنَّفْسِ اللَّوَّامَةِ
Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
أَيَحْسَبُ الْإِنْسَانُ أَلَّنْ نَجْمَعَ عِظَامَهُ
Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake?
بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَنْ نُسَوِّيَ بَنَانَهُ
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
بَلْ يُرِيدُ الْإِنْسَانُ لِيَفْجُرَ أَمَامَهُ
Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
يَسْأَلُ أَيَّانَ يَوْمُ الْقِيَامَةِ
Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?

Choose other languages: