Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qiyama Ayahs #32 Translated in Swahili

وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
وَالْتَفَّتِ السَّاقُ بِالسَّاقِ
Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
وَلَٰكِنْ كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Bali alikanusha, na akageuka.

Choose other languages: