Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #42 Translated in Swahili

وَلَقَدْ صَبَّحَهُمْ بُكْرَةً عَذَابٌ مُسْتَقِرٌّ
Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِنْ مُدَّكِرٍ
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
وَلَقَدْ جَاءَ آلَ فِرْعَوْنَ النُّذُرُ
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذْنَاهُمْ أَخْذَ عَزِيزٍ مُقْتَدِرٍ
Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.

Choose other languages: