Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #41 Translated in Swahili

وَلَقَدْ رَاوَدُوهُ عَنْ ضَيْفِهِ فَطَمَسْنَا أَعْيُنَهُمْ فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo yangu!
وَلَقَدْ صَبَّحَهُمْ بُكْرَةً عَذَابٌ مُسْتَقِرٌّ
Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِنْ مُدَّكِرٍ
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
وَلَقَدْ جَاءَ آلَ فِرْعَوْنَ النُّذُرُ
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.

Choose other languages: