Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muzzammil Ayahs #12 Translated in Swahili

وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًا
Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.
رَبُّ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ فَاتَّخِذْهُ وَكِيلًا
Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.
وَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاهْجُرْهُمْ هَجْرًا جَمِيلًا
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
وَذَرْنِي وَالْمُكَذِّبِينَ أُولِي النَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا
Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
إِنَّ لَدَيْنَا أَنْكَالًا وَجَحِيمًا
Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!

Choose other languages: