Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muzzammil Ayahs #14 Translated in Swahili

وَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاهْجُرْهُمْ هَجْرًا جَمِيلًا
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
وَذَرْنِي وَالْمُكَذِّبِينَ أُولِي النَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا
Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
إِنَّ لَدَيْنَا أَنْكَالًا وَجَحِيمًا
Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
وَطَعَامًا ذَا غُصَّةٍ وَعَذَابًا أَلِيمًا
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
يَوْمَ تَرْجُفُ الْأَرْضُ وَالْجِبَالُ وَكَانَتِ الْجِبَالُ كَثِيبًا مَهِيلًا
Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

Choose other languages: