Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mutaffifin Ayahs #6 Translated in Swahili

الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَوْ وَزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُمْ مَبْعُوثُونَ
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
لِيَوْمٍ عَظِيمٍ
Katika Siku iliyo kuu,
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Choose other languages: