Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #41 Translated in Swahili

لِمَنْ شَاءَ مِنْكُمْ أَنْ يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ
Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
كُلُّ نَفْسٍ بِمَا كَسَبَتْ رَهِينَةٌ
Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
إِلَّا أَصْحَابَ الْيَمِينِ
Isipo kuwa watu wa kuliani.
فِي جَنَّاتٍ يَتَسَاءَلُونَ
Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
عَنِ الْمُجْرِمِينَ
Khabari za wakosefu:

Choose other languages: