Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #19 Translated in Swahili

كَلَّا ۖ إِنَّهَا لَظَىٰ
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
نَزَّاعَةً لِلشَّوَىٰ
Unao babua ngozi ya kichwa!
تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
وَجَمَعَ فَأَوْعَىٰ
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
إِنَّ الْإِنْسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا
Hakika mtu ameumbwa na papara.

Choose other languages: