Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #70 Translated in Swahili

وَقَضَيْنَا إِلَيْهِ ذَٰلِكَ الْأَمْرَ أَنَّ دَابِرَ هَٰؤُلَاءِ مَقْطُوعٌ مُصْبِحِينَ
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
وَجَاءَ أَهْلُ الْمَدِينَةِ يَسْتَبْشِرُونَ
Na wakaja watu wa mji ule nao furahani.
قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
قَالُوا أَوَلَمْ نَنْهَكَ عَنِ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?

Choose other languages: