Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #47 Translated in Swahili

وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِكُلِّ بَابٍ مِنْهُمْ جُزْءٌ مَقْسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
وَنَزَعْنَا مَا فِي صُدُورِهِمْ مِنْ غِلٍّ إِخْوَانًا عَلَىٰ سُرُرٍ مُتَقَابِلِينَ
Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.

Choose other languages: