Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #7 Translated in Swahili

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحَاقَّةُ
Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
كَذَّبَتْ ثَمُودُ وَعَادٌ بِالْقَارِعَةِ
Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
فَأَمَّا ثَمُودُ فَأُهْلِكُوا بِالطَّاغِيَةِ
Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
وَأَمَّا عَادٌ فَأُهْلِكُوا بِرِيحٍ صَرْصَرٍ عَاتِيَةٍ
Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
سَخَّرَهَا عَلَيْهِمْ سَبْعَ لَيَالٍ وَثَمَانِيَةَ أَيَّامٍ حُسُومًا فَتَرَى الْقَوْمَ فِيهَا صَرْعَىٰ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ خَاوِيَةٍ
Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.

Choose other languages: