Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #27 Translated in Swahili

قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.

Choose other languages: