Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #24 Translated in Swahili

إِنِّي ظَنَنْتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَاضِيَةٍ
Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Katika Bustani ya juu,
قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.

Choose other languages: