Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ghashiya Ayahs #19 Translated in Swahili

وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلَا يَنْظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?

Choose other languages: