Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Fajr Ayahs #12 Translated in Swahili

الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ
Na Firauni mwenye vigingi?
الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ
Wakakithirisha humo ufisadi?

Choose other languages: