Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Fajr Ayahs #14 Translated in Swahili

وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ
Na Firauni mwenye vigingi?
الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ
Wakakithirisha humo ufisadi?
فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.

Choose other languages: