Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Burooj Ayahs #15 Translated in Swahili

إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتٌ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ ۚ ذَٰلِكَ الْفَوْزُ الْكَبِيرُ
Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
إِنَّ بَطْشَ رَبِّكَ لَشَدِيدٌ
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
إِنَّهُ هُوَ يُبْدِئُ وَيُعِيدُ
Yeye ndiye anaye anzisha na ndiye anaye rejeza tena,
وَهُوَ الْغَفُورُ الْوَدُودُ
Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
ذُو الْعَرْشِ الْمَجِيدُ
Mwenye Kiti cha Enzi, Mtukufu,

Choose other languages: