Quran Apps in many lanuages:

Surah Abasa Ayahs #8 Translated in Swahili

أَوْ يَذَّكَّرُ فَتَنْفَعَهُ الذِّكْرَىٰ
Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
أَمَّا مَنِ اسْتَغْنَىٰ
Ama ajionaye hana haja,
فَأَنْتَ لَهُ تَصَدَّىٰ
Wewe ndio unamshughulikia?
وَمَا عَلَيْكَ أَلَّا يَزَّكَّىٰ
Na si juu yako kama hakutakasika.
وَأَمَّا مَنْ جَاءَكَ يَسْعَىٰ
Ama anaye kujia kwa juhudi,

Choose other languages: