Quran Apps in many lanuages:

Surah Qaf Ayahs #25 Translated in Swahili

وَجَاءَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَعَهَا سَائِقٌ وَشَهِيدٌ
Na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji na shahidi.
لَقَدْ كُنْتَ فِي غَفْلَةٍ مِنْ هَٰذَا فَكَشَفْنَا عَنْكَ غِطَاءَكَ فَبَصَرُكَ الْيَوْمَ حَدِيدٌ
(Aambiwe): Kwa hakika ulikuwa umeghafilika na haya; basi leo tumekuondolea pazia lako, na kwa hivyo kuona kwako leo ni kukali.
وَقَالَ قَرِينُهُ هَٰذَا مَا لَدَيَّ عَتِيدٌ
Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.
أَلْقِيَا فِي جَهَنَّمَ كُلَّ كَفَّارٍ عَنِيدٍ
Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,
مَنَّاعٍ لِلْخَيْرِ مُعْتَدٍ مُرِيبٍ
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,

Choose other languages: