Quran Apps in many lanuages:

Surah Fussilat Ayahs #4 Translated in Swahili

حم
H'a Mim
تَنْزِيلٌ مِنَ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
كِتَابٌ فُصِّلَتْ آيَاتُهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ
Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua.
بَشِيرًا وَنَذِيرًا فَأَعْرَضَ أَكْثَرُهُمْ فَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ
Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii.

Choose other languages: