Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Tin Ayahs #8 Translated in Swahili

لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنْسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
ثُمَّ رَدَدْنَاهُ أَسْفَلَ سَافِلِينَ
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?

Choose other languages: