Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #74 Translated in Swahili

إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
قَالُوا نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَاكِفِينَ
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
قَالَ هَلْ يَسْمَعُونَكُمْ إِذْ تَدْعُونَ
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
أَوْ يَنْفَعُونَكُمْ أَوْ يَضُرُّونَ
Au yanakufaeni, au yanakudhuruni?
قَالُوا بَلْ وَجَدْنَا آبَاءَنَا كَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.

Choose other languages: