Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #40 Translated in Swahili

قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَعْلُومٍ
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنْتُمْ مُجْتَمِعُونَ
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?
لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِنْ كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

Choose other languages: