Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #199 Translated in Swahili

بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُبِينٍ
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
أَوَلَمْ يَكُنْ لَهُمْ آيَةً أَنْ يَعْلَمَهُ عُلَمَاءُ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
فَقَرَأَهُ عَلَيْهِمْ مَا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.

Choose other languages: