Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #181 Translated in Swahili

إِذْ قَالَ لَهُمْ شُعَيْبٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
أَوْفُوا الْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا مِنَ الْمُخْسِرِينَ
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.

Choose other languages: